Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko, dinning na public toilet ndani.
Nyumba ipo ndani ya fence inayojitegemea yenyewe, kila kitu kipo ndani umeme wako pamoja na mita ya maji, parking ipo kubwa sana na bei ni mseleleko wahi mapema uizingue nyumba hii.