Nyumba kubwa ya kifamilia inapangishwa
ipo kimara temboni
umbali kutoka morogoro road ni dk. 15// kwa mguu
bajaji 700//
___________
sifa za nyumba
___________
vyumba vitatu kimojawapo ni masta
sebule kubwa sana daining jiko stoo na choo cha pablic
inajitegemea umeme na maji dawasa
______________________
kodi 400,000/= x6
kuona nyumba 15000/=
dalali 400,000/=
pindi ulipiapo nyumba
______________
nyumba ipo mtaa wa kishua mazingira tulivu
pembeni kuna chumba na sebule mnashea fensi