Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
1 maoni
3bdrm Apartment in Kimara Temboni for rent
+1
Ghorofa
3 vyumba vya kulala
bafu 2
Kimara temboni
Anwani ya Mali
Kimara temboni
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
3
Vyumba vya kulala
2
Bafu
20000
Ada ya malipo ya huduma
500000
Ada ya malipo
20000
Ada ya Wakala
500000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Eneo la Kula
Kifaa cha kuosha sahani
Maji Moto
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Microwave
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Nyumba nzuri ya kisasa inapangishwa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa zipo mbili tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#dining
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#garden
bei ni 500k x 6
ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
kuoneshwa nyumba hii utalipia shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utalipia kodi ya udalali kodi ya mwezi mmoja
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu au ukipanda bajaji sh 500 na ukishuka tuu unapiga teke mlango
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba