Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Haina fensi wala parking ila gari linafika mpaka kwenye nyumba. Unaweza kupitia korogwe au riverside kwa njia zote unafika usafiri upo mwingi wa kumwaga nauli 500 bajaji.