Apartment nzuri sana bado mpyaa
ndani ya fence
inapangishwa
kimara temboni
kodi yake 350k x 6
sifa za nyumba::->
vyumba viwili vya kulala
sebule kubwa safi
jiko safi na makabati yake...
public toilet
hakuna masterbedroom
tiles
gipsum
slide windows
luku na meter ya maji safi dawasa inajitegemea
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi.
kutokea morogoro road hadi kwenye nyumba ni dakika 7 kwa kutembea kwa miguu, na pia ukipenda unaweza kuingilia kwa msuguri na ukatembea dakika saba pia.
piki piki tsh 1,000/=
service charge 20k
unapolipia nyumba utamlipa dalali pesa ya kodi ya mwezi mmoja...
karibuni saana