Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 2 yaliyopita
36 maoni
2bdrm Condo in Kimara Korogwe for Rent
+1
Condo
2 vyumba vya kulala
bafu 2
kimara korogwe
Anwani ya Mali
kimara korogwe
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Condo
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
2
Bafu
20000
Ada ya malipo ya huduma
300000
Ada ya malipo
300000
Ada ya Wakala
300000
Ada ya Tahadhari
Mita ya Kulipwa Kabla
Sakafu ya vigae
Umeme wa masaa 24
Chandelier
Rafu ya jikoni
Ghorofa
Wardrobe
Kifaa cha kuosha sahani
Ibukizi ya Ibukizi
Microwave
Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vya kulala
#sebule kubwa
#hakuna master bedroom
#ina public toilet nzuri
#jiko kubwa
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#zipo apartment 4 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi
#parking ya kutosha
bei ni 300k x 6
ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo kimara korogwe upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu
apartment hii naongea na mmiliki ( no chain hapa)