Apartment nzuri ya kisasa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 250,000/= x 6
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#zipo apartment 3 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
#parking kubwa
bei ni 250,000/= x 6
apartment hii ipo mbezi kibanda cha mkaa upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja