apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa sana
#jiko kubwa open kitchen
#public toilet
#luku na mita ya maji inajitegemea
#paving
#inayopangishwa ni ya juu gorofani
bei ni 260,000/= x 6
dalali 260,000/=
pindi ulipiapo nyumba
kuona nyumba 20,000/=
________________
ilipwe laki 2 na elfu 60 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
bila kusahau pesa ya dalali shilingi laki 2 na elfu 60 pamoja na service charge shilingi elfu 20
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 1000