Apartment nzuri na mpya ya kisasa inapangishwa itakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 10/04/2024
bei ni 600,000/= x 6
apartment hii ina sifa zifuatazo
#sebule kubwa sana
#vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master
#jiko kubwa la kisasa lenye makabati
#public toilet
#heater za maji moto na baridi
#aircondition
#ccctv camera
#electric fence
#garden
#parking
!!zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa
bei ni 600,000/= x 6
ilipwe laki 6 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6 tuu kwa miguu na njia ni lami tupu hadi kwenye nyumba
bila kusahau pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 6 tuu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni 30k...