Apartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule ya wastani (sio kubwa), jiko, na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe na ipo ndani ya fence. Unaweza kupitia korogwe au ubungo riverside unafika. Karibu sana MAONGEZI KIDOGO KWENYE KODI YAPO