Apartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet. Zipo apartment 3 tu ndani ya fence na kila moja Inajitegemea kila kitu, parking ipo ya kutosha, ipo umbali wa 1.5 km kutoka mwendokasi, usafiri upo wa bajaji na pikipiki Tsh 1,000 mpaka getini