Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
2 maoni
2bdrm Apartment in Kimara Butcher for rent
+1
Ghorofa
2 vyumba vya kulala
bafu 2
Kimara butcher
Anwani ya Mali
Kimara butcher
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
2
Bafu
20000
Ada ya malipo ya huduma
450000
Ada ya malipo
20000
Ada ya Wakala
400000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Eneo la Kula
Kifaa cha kuosha sahani
Maji Moto
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Microwave
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Jokofu
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia 14/11/2023 au mapema zaidi ya hapo
apartment hii ina sifa zifuatazo
# vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master
# sebule kubwa
# jiko kubwa
# public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#garden
#parking kubwa ya kutosha
bei ni 450k x 6
ilipwe laki 4 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
ulinzi upo masaa 24 na usafi wa mazingira na mtunza garden vyote hivi vinalipwa na mwenye nyumba
apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba