tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Nyumba na Vyumba Kwa Kupangisha
  4. Nyumba na Vyumba Kwa Kupangisha
Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, 23/03
3 maoni

2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent

+1
Ghorofa
2 vyumba vya kulala
1 bafu
APARTMENTS YENYE VYUMBA VIWILI INAPANGISHWA IPO KIMARA SUKA
Anwani ya Mali
Dalalipapaatzseven
Jina la Mtaa
1000sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
1
Bafu
2
Vyoo
30000
Ada ya malipo ya huduma
Dalalipapaatzseven
Ada ya malipo
30000
Ada ya Wakala
30000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Umeme wa masaa 24
Ni apartment nzuri sana na mpya kabisa inapangishwa location kimara suka umbali toka morogoro road ni dk.10 kutembea kwa miguu usafiri upo wa uhakika boda elfu moja kodi ni tzs 400k x6 vyumba viwili vya kulala kimojawapo ni master sebule kubwa jiko kubwa la kisasa lenye makabati store na public toilet nzur ya ndani ziko apartments mbili tu kwenye compound moja na hii moja ndio inapangishwa tyries gypsum madirisha aluminium ndani ya fence parking kubwa full garden full parving blocks umeme luku yako pia maji yanatiririka ndani full decorations light, na nyumba ni nzuri mno nb, itakua wazi kuanzia tarehe 08.3.2024 au mapema zaidi ya hapo kuja kuona na kulipia ni ruksa changamkia fursa ndugu mteja kupelekwa kuona nyumba ni tzs.15000 cont
2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent2bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent
TSh 400,000per month
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif