Nyumba ipo ndani ya fence ina Parking space ya kutosha
Chumba 1 cha kulala na Sebule (sitting room)
Jiko(kitchen area)
Choo na bafu ndani na vya nje
Sakafu ya Tiles, madirisha ya vioo (Sliding windows), na Gypsum
Ipo ndani ya uzio wenye paving blocks
Maji na Umeme vinapatikana saa 24 (Kuna matanki makubwa 2 ya akiba)
Usafiri: Bajaji ni TZS 1,000 - 1,500 kutoka barabara kuu ya Morogoro Road