Kodi yake inapokelewa kunzia miezi 3...
Nyumba ina chumba, sebule, jiko na choo ndani, inajitegemea luku yake yenyewe, gari inafika mpaka kwenye nyumba na maji yanatoka jikoni na chooni pia nnje kuna bomba la maji... nyumba ipo umbali wa mwendo wa dakika 10 kwa mguu kutoka kituo cha mwendokasi