Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
9 maoni
1bdrm Condo in Kimara Butcher for rent
+1
Condo
1 chumba cha kulala
bafu 2
Kimara butcher
Anwani ya Mali
Kimara butcher
Jina la Mtaa
700sqm
Ukubwa wa sifa
Condo
Aina ya mali
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
2
Bafu
250000
Ada ya malipo ya huduma
20000
Ada ya malipo
250000
Ada ya Wakala
250000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Kifaa cha kuosha sahani
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Apartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa na itakua wazi kuanzia leo jioni ya tarehe 02/09/2023 kuona na kulipia ni ruksa kabisa
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba kikubwa kizuri
#sebule kubwa
#jiko kubwa zuri open kitchen
#choo kizuri cha ndani kwa ndani(public toilet)
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking
bei ni 250k x 3
ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 3 na kuendelea
apartment hii ipo kimara bucha upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu
ndugu mteja njoo ukae nyumba nzuri na jirani na barabara na njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba