Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 2 yaliyopita
12 maoni
1bdrm Apartment in Kimara for Rent
+1
3
Ghorofa
1 chumba cha kulala
bafu 2
kimara
Anwani ya Mali
kimara
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
2
Bafu
No Pets
Pets
20000
Ada ya malipo ya huduma
200000
Ada ya malipo
200000
Ada ya Wakala
2000000
Ada ya Tahadhari
Microwave
Balcony
Kifaa cha kuosha sahani
Chandelier
Rafu ya jikoni
Eneo la Kula
Mita ya Kulipwa Kabla
Umeme wa masaa 24
Ibukizi ya Ibukizi
Makabati ya Jikoni
Apartment nzuri ya kisasa ya kibachela inapangishwa
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba master kikubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking
ilipwe laki 2 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo mbezi kibanda cha mkaa upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1.8 usafiri ni bajaji sh 700 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba
pia unaweza kushukia au kupitia kwa gari njia ya kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2
!! apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 01/01/2023 kuona na kulipia ni ruksa kabisa ndugu mteja
apartment hizi naongea na mmiliki ( no chain hapa)