Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
7 maoni
1bdrm Apartment in Kimara Bucher for rent
+1
Ghorofa
1 chumba cha kulala
1 bafu
Kimara bucher
Anwani ya Mali
Kimara bucher
Jina la Mtaa
700sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
1
Bafu
250000
Ada ya malipo ya huduma
20000
Ada ya malipo
250000
Ada ya Wakala
250000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Eneo la Kula
Kifaa cha kuosha sahani
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Apartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 25/09/2023
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba kikubwa kizuri
#sebule kubwa
#jiko kubwa lina makabati mzuri
#choo kizuri cha ndani kwa ndani
#store
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#aircondition
#parking
!!fensi ipo imejengwa nusu bado kumalizia ila kuna walinzi wanalinda na usalama ni wa uhakika
ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
apartment hii ipo kimara bucha kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 4-5 kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia kodi ya mwezi mmoja ya udalali
ndugu mteja apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 25/09/2023 kuona ndani endapo mpangaji atakuwepo ni ruksa kabisa na malipo yanapokelewa