1bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent
1/15
+ 10
picha
Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, 17/04
2 maoni
1bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent
+1
1
Ghorofa
1 chumba cha kulala
1 bafu
APARTMENTS YENYE CHUMBA MASTER JIKO INAPANGISHWA IPO KIMARA
Anwani ya Mali
Dalalipapaatzseven
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Ndio
Huru ya Kujitegemea
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
1
Bafu
1
Vyoo
30000
Ada ya malipo ya huduma
Dalalipapaatzseven
Ada ya malipo
30000
Ada ya Wakala
30000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Apartment for rent
apartment
hii ina sifa zifuatazo
# chumba master bedroom kubwa sana
# jiko full makabati
#public toilet
#kila apartment lina dishi lake dstv
#garden
# luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking kubwa
bei ni 175, 000/= x 6 ninzuli sana kikukwa balaha
apartment hii ipo kimara suka upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 tuu... usafiri bajaji 700 na bodaboda 1,000 hadi kwenye nyumba
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15
na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi 1 wahiii
#cal071XXXXXXX