1bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent
1/12
+ 7
picha
Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, 23/03
12 maoni
1bdrm Apartment in Dalalipapaatzseven, Kimara for rent
+1
Ghorofa
1 chumba cha kulala
1 bafu
CHUMBA MASTER SEBULE NA JIKO INAPANGISHWA IPO UBUNGO MAKOKA
Anwani ya Mali
Dalalipapaatzseven
Jina la Mtaa
1200sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
1
Bafu
1
Vyoo
20000
Ada ya malipo ya huduma
Dalalipapaatzseven
Ada ya malipo
20000
Ada ya Wakala
20000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Apartment nzuri ya kupanga 250k #mpyaa
#location: ubungo makoka
usafiri bajaj tsh. 700 kutoka stand ya mwendokasi korogwe unaweza kupita riverside pia bajaj 700
sifa zake
=
• sebule kubwa
• chumba kimoja cha kulala master bedroom
• jiko kubwa
• public toilet ya wageni
apartment zipo ndani ya fensi parking ipo na kila apartment inajitegemea luku umeme na maji dawasa yanaflow ndani
kodi kwa mwezi ni tsh. 250,000/- malipo miezi 6
#angalizo
survey charge ni 10,000 tu utaonyeshwa nyumba zote unazohitaji zilizopo na malipo ya dalali ni mwezi mmoja pindi ulipiapo nyumba.
#note: nyumba zipo hatua za mwisho kikamilika na zitakuwa tayari kuingia tar. 15 mwezi wa 7
#cal071XXXXXXX