Shamba linauzwa kijiji cha mkange, miono bagamoyo.
liko umbali wa kilomita tatu toka barabara kuu inayowekwa rami ya pangani bagamoyo
ukubwa: ekari 100
bei: tsh milioni 30
umiliki: mkataba wa serikali ya kijiji
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: