Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji, Usambazaji wa Gesi, Bomba la maji taka, Maegesho ya Gari
Vituo vya
Yes
Chaji ya Huduma
Hi*Shamba la Ekari 358 linauzwa Morogoro*
*Location* Shamba lipo Dodoma Road-Dakawa
*Distance* Kutoka lami ya Dodoma Road mpaka shamba 1 KM
-Shamba lina visima 3 vya urefu wa mita 70
-Shamba lina Bwawa la kulishia Ng'ombe na Kilimo cha umwagiliaji
-Shamba lina nyumba 4 za tofali za kuchoma.
-Umeme upo
-Title deed
-Matumizi; Kilimo na Mifugo
*Bei shilingi milioni 400 maongezi yapo*