Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Gesi, Maegesho ya Gari
Vituo vya
EViwanda:
Hivi 2 vinauzwa
Mkoa wa Iringa
Viwanda vinamajengo Safi ya kuvutia fance
Kubwa na vinafanya kazi
Viwanda vipo mita 200 tu Kutoka kwenye barabara ya Iringa Road
Kimoja cha nguzo
Kimoja cha maji
Kiwanda kikubwa kinauzwa
Locton Mkoa Iringa
Kiwanda ni chakuzalisha nguzo
Ukubwa Eneo ni Qmt 32000
Kiwanda kinafanya kazi
Bei million 450
Umbali Mita 200 tu Kutoka kwenye lami
_________________________
Kiwanda kinauzwa
Locton Mkoa wa Iringa
Kiwanda cha kuzalisha maji
Kiwanda kinafanya kazi
Ukubwa wa Eneo ni Qmt 30,000/=
Bei million 450
Umbali Mita 200 Kutoka mbeya Road
Mtu yoyote ukihitaji video inbox
Viwanda vyote vinauzwa na Bank