LESENI ZA MADINI YA DHAHABU ZINAUZWA – KILINDI, TANGA
Fursa adimu kwa wawekezaji wa sekta ya madini!
Zinauzwa leseni za uchimbaji wa madini ya dhahabu zilizopo Wilaya ya Kilindi, Mkoa wa Tanga.
Maelezo:
- Eneo: Kilindi, Tanga
- Aina ya madini: Dhahabu
- Bei: TSh 150,000,000 kwa kila leseni
- Bei inajadiliwa kwa mazungumzo ya moja kwa moja na mnunuzi mwenye nia.
Karibu kwa wawekezaji na wanunuzi makini wanaotafuta fursa katika sekta ya madini ya dhahabu.