2bdrm House in Mbez Ya Kimara, Kijitonyama for Rent
1/6
+ 1
picha
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, Kijitonyama, siku 1 zilizopita
23 maoni
2bdrm House in Mbez Ya Kimara, Kijitonyama for Rent
+1
3
Nyumba
2 vyumba vya kulala
bafu 2
mbez ya kimara
Anwani ya Mali
mbez ya kimara
Jina la Mtaa
900sqm
Ukubwa wa sifa
Nyumba
Aina ya mali
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
2
Vyumba vya kulala
2
Bafu
Pets Allowed
Pets
Yes
Chaji ya Huduma
20000
Ada ya Wakala
250000
Ada ya Tahadhari
Chandelier
Balcony
Maji Moto
Microwave
Ibukizi ya Ibukizi
Ghorofa
Kifaa cha kuosha sahani
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Eneo la Kula
Umeme wa masaa 24
Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa
apartment hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#jiko kubwa
#public toilet
#luku na mita ya maji dawasa inajitegemea
#parking
#zipo apartment 3 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi
bei ni 250k x 6
apartment hii ipo mbezi mwisho upande wa kulia njia ya kuelekea makabe kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1.5 kwa gari
pia kuna usafiri wa kuchangia ambao ni daladala na bajaji sh 500
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba