Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada block 6 nyumba ya bank ya crdb.kiwanja kizuri ni kiwanja Cha 5 kutoka Barabara kubwa ya lami.Uzuri wa kiwanja hiki kimepimwa na kina hati ya wizara.kilomita6 ukitokea daraja la Mwalimu Nyerere,kilomita8 ukitokea ferry kigamboni.Kiwanja kizuri sana na tayar nyumba kina uzio wa( fens)
Kwa maelezo zaidi nipigie