tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Makazi Inauzwa
Dar es Salaam, Temeke, Kigamboni, masaa 5 yaliyopita
1 maoni

Kiwanja Kinauzwa Kibada Kigamboni

+1
Ardhi ya Makazi
Aina
1400sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
30000
Ada ya Agenti
KIWANJA KINAUZWA – KIBADA, KIGAMBONI Kuna kiwanja kizuri kinauzwa katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi la Kibada, Kigamboni. SQM 1,400 Kimepimwa na kina Hati ya Wizara Umbali wa mita 200 kutoka barabara kuu Kimezungushiwa fence pande zote kwa usalama zaidi Eneo tambarare, rahisi kwa ujenzi wa aina mbalimbali Hii ni nafasi nzuri kwa mtu anayetafuta ardhi ya makazi au uwekezaji wa muda mrefu katika eneo lenye uhakika wa kupanda thamani. Bei: Milioni 170 Eneo ni safi, tulivu na lina miundombinu inayokua kila siku — mahali pazuri pa kuanzisha mradi wako unaofuata.
Kiwanja Kinauzwa Kibada KigamboniKiwanja Kinauzwa Kibada KigamboniKiwanja Kinauzwa Kibada KigamboniKiwanja Kinauzwa Kibada KigamboniKiwanja Kinauzwa Kibada KigamboniKiwanja Kinauzwa Kibada KigamboniKiwanja Kinauzwa Kibada Kigamboni
TSh 170,000,000Outright Price
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif