tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Makazi Inauzwa
Dar es Salaam, Temeke, Kigamboni, masaa 2 yaliyopita
1 maoni

Boma Linauzwa Kibada Kigamboni

+1
Ardhi ya Makazi
Aina
800sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
30000
Ada ya Agenti
Fursa Adimu Kibada, Kigamboni! Boma hili linauzwa katika eneo linalokua kwa kasi na lenye mazingira mazuri ya makazi. Vyumba 3 vya kulala (2 Master Bedroom) Sebule kubwa na Dining Area Choo cha Wageni Fence pande zote kwa usalama zaidi Mita 300 tu kutoka barabara ya ndani Limepimwa na lina Hati ya Wizara Iwe ni kwa makazi ya familia au uwekezaji wa baadaye, hii ni nafasi ya kupata mali yenye thamani katika moja ya maeneo yanayopendwa zaidi Kigamboni. Bei: Milioni 170 Tu Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi au kupanga ziara ya kulitazama. #Kibada #Kigamboni #NyumbaInauzwa #RealEstateTanzania #DalaliPro #PropertyInvestment
Boma Linauzwa Kibada KigamboniBoma Linauzwa Kibada KigamboniBoma Linauzwa Kibada KigamboniBoma Linauzwa Kibada Kigamboni
TSh 170,000,000Outright Price
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif