Fursa Adimu Kibada, Kigamboni!
Boma hili linauzwa katika eneo linalokua kwa kasi na lenye mazingira mazuri ya makazi.
Vyumba 3 vya kulala (2 Master Bedroom)
Sebule kubwa na Dining Area
Choo cha Wageni
Fence pande zote kwa usalama zaidi
Mita 300 tu kutoka barabara ya ndani
Limepimwa na lina Hati ya Wizara
Iwe ni kwa makazi ya familia au uwekezaji wa baadaye, hii ni nafasi ya kupata mali yenye thamani katika moja ya maeneo yanayopendwa zaidi Kigamboni.
Bei: Milioni 170 Tu
Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi au kupanga ziara ya kulitazama.
#Kibada #Kigamboni #NyumbaInauzwa #RealEstateTanzania #DalaliPro #PropertyInvestment