Dar es Salaam, Temeke, Kigamboni, siku 2 zilizopita
44 maoni
35 Acres For Sale At Kichangani Mwasonga
+1
Ardhi ya matumizi mchanganyiko
Aina
144279sqm
Mita za mraba
Mchanganyiko
Matumizi ya Sifa
*ekari 35 zinauzwa
-eneo lina umbari wa takribani 1 km kutoka barabara kuu ya lami inayounganisha hadi ferry kituoni
-bei ya eneo imeshuka kutoka 600M nasasa ni 500M na gharama za kupima na kuchonga barabara katika eneo hili ni 150M, ambapo bei ya jumla ya eneo kwasasa ni 650M Sio 750M tena.
-unaweza kununua eneo hili na kufanya mradi au biashara ya kuuza viwanja vya kupima
NB: Kutokana na sheria na taratibu za Jiji imeshindikana mimi kuweka mchanganuo mzima hapa wa namna gani biashara hii inaweza kukuletea faida mara mbili na zaidi ya bei uliyonunulia eneo hili. Kwa Maelezo zaidi ya namna gani biashara hii inaweza kukuletea faida mara mbili na zaidi nitafute kwa namba073XXXXXXX