nyumba ya ghorofa inauzwa – kisota, kigamboni
unatafuta nyumba ya kisasa, yenye hadhi na iliyokamilika kwa kila huduma muhimu? hii ni fursa yako.
location: kisota, kigamboni
ukubwa wa kiwanja: sqm 614
hati kamili ya wizara
bei: tzs 400 milioni
sifa za nyumba:
vyumba 4 vya kulala – vyote master bedroom
sebule kubwa na ya kisasa
dining area
jiko la kisasa
servant quarter
kisima cha maji
umeme wa uhakika
air conditioners (ac) kwenye maeneo muhimu
ipo barabarani kwa urahisi wa kufikika
nyumba hii imejengwa kwa viwango vya kisasa na ipo kwenye eneo linalokua kwa kasi kigamboni, ikiwa chaguo bora kwa makazi ya familia au uwekezaji wa thamani ya muda mrefu.
wasiliana na dalalipro kigamboni