Nyumba inauzwa
ipo kigamboni mjimwema,
nyumba ipo mita 100 kutoka main road ya lami
bei tsh milioni 170 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki: hati miliki ya wizara
vyumba 3 vya kulala
vyumba viwili ni master
sitting room
dinning room
kitchen
storw
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=