Nyumba inauzwa
ipo mbezi mwisho kwa msuguli (ubungo municipality)
nyumba iko jilan kabisa na barabara ya zege (ukishuka tu kwenye bajaji unatembea )
bei tsh milion 55 maongezi yapo
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ukubwa wa eneo: sqm 400
vyumba vitatu vya kulala
chumba kimoja master
dinning room
sitting room
kitchen
public toilet
gharama za kwenda site ni tshs elfu 50,000/=