3 bedrooms house inauzwa, kigamboni - dar es salaam
• mahali: ferry magogoni, barabara ya kimbiji
• hali ya nyumba: bado mpya, inahitaji kumaliziwa rangi upande wa nyuma
• hadhi ya kiwanja: kimerasimishwa
• ukubwa wa kiwanja: 225 sqm
• nyaraka: leseni ya makazi
• kupelekwa kuona
• hakuna malipo ya kamisheni ya dalali
.
tanzawise estates
dar es salaam
.
chumba kimoja master, viwili vya kawaida • sebule • mahala pa kulia chakula • jiko • washroom ya jumuiya • makabati jikoni • feni za juu • malumalu sakafuni • varanda ya mbele na jikoni • maji na umeme • uzio • gari inafika mpaka ndani ya geti • maegesho ya gari • kuingia mjini kati (posta) nauli haizidi sh 600
.
• visit our listing to find more and different properties.
• if you can't get enough of our properties, send a request of your choice through our contacts