Nyumba inauzwa kwa idhini ya mahakama kigamboni mwembe mtengu. iko umbali wa mita 500 toka main road
area :sqm 266
price : mil 50
umiliki: mkataba wa mauziano
sifa:-
-vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni mster
-sebule
-jiko na store
-choo cha public
contacts:
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta excela joshua