Nyumba kali sana inauzwa kigamboni mikwabe
iko umbali wa kilomita 1 toka main rod
plot size: sqm 600
bei: tsh milioni 120
umiliki: hati
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
sifa za nyumba:-
-vyumba vitatu vya kulala
-chumba kimoja ni master
-sebule
-dinning
-jiko na store
-choo cha public
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: (sdwngwn)