*eneo lenye ekari 4.9 linauzwa kigamboni, mwongozo*
*distance* eneo liko umbali wa mita 50 kutoka barabara kuu ya lami ya kutoka kigamboni kupitia mjimwema-geza-kimbiji hadi buyuni
-eneo lina private road inayogusa lami yenye upana wa mita 10
-eneo limezungushiwa ukuta pande tatu
eneo lina mageti 2 yote yanapitika kwa njia ya gari
*ndani ya eneo kuna vitu vifuatavyo*
1.nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 4 vyote master sebule 2 dining na jiko kubwa.
2. nyumba ya wafanyakazi yenye vyumba 3 vyote master na sebule
3. jiko kubwa la nje na store
4. mabanda 3 makubwa ya kufugia kuku
5. mabwawa 3 ya kufugia samaki
6. vibanda 4 vya walinzi
7. kisima cha maji
8. umeme upo
-document: eneo limepimwa ila hati ipo kwenye mchakato wa kutoka
-ukubwa wa sqmtrs 24,010
*bei shilingi bilioni 1.5 maongezi yapo*