tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Mali ya Biashara Inauzwa
  4. Mashamba ya Samaki yanauzwa
Imefaulu
Dar es Salaam, Temeke, Kigamboni, siku 1 zilizopita
3 maoni

Eneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni

+1
2
Shamba la Samaki
Aina ya mali
Muongozo
Anwani
Bila samani
Samani
Imetumika kwa Haki
Hali
24010sqm
Mita za mraba
*eneo lenye ekari 4.9 linauzwa kigamboni, mwongozo* *distance* eneo liko umbali wa mita 50 kutoka barabara kuu ya lami ya kutoka kigamboni kupitia mjimwema-geza-kimbiji hadi buyuni -eneo lina private road inayogusa lami yenye upana wa mita 10 -eneo limezungushiwa ukuta pande tatu eneo lina mageti 2 yote yanapitika kwa njia ya gari *ndani ya eneo kuna vitu vifuatavyo* 1.nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 4 vyote master sebule 2 dining na jiko kubwa. 2. nyumba ya wafanyakazi yenye vyumba 3 vyote master na sebule 3. jiko kubwa la nje na store 4. mabanda 3 makubwa ya kufugia kuku 5. mabwawa 3 ya kufugia samaki 6. vibanda 4 vya walinzi 7. kisima cha maji 8. umeme upo -document: eneo limepimwa ila hati ipo kwenye mchakato wa kutoka -ukubwa wa sqmtrs 24,010 *bei shilingi bilioni 1.5 maongezi yapo*
Eneo La Eka 4.9 Linauzwa KigamboniEneo La Eka 4.9 Linauzwa KigamboniEneo La Eka 4.9 Linauzwa KigamboniEneo La Eka 4.9 Linauzwa KigamboniEneo La Eka 4.9 Linauzwa KigamboniEneo La Eka 4.9 Linauzwa KigamboniEneo La Eka 4.9 Linauzwa Kigamboni
TSh 1,500,000,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif