Kiwanja kimepimwa na mawe yake yapo, kipo mtaa mzuri uliojengeka kwa mpangilio, umeme na maji yapo uwanjani na huduma nyingine zote zipo za kijamii, kiwanja hiki hakipo mbali na barabara ya lami (morogoro road) na unaweza kutembea dakika 15 kwa miguu... Karibu sana