Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet, umeme upo na maji pia yapo, ipo umbali wa km4 kutoka Morogoro road na barabara inapitika nyakati zote maana ina lami. Ina hati ya mauziano ya serekali ya mtaa karibu sana maongezi kidogo yapo