Nyumba (unfinished) inauzwa (binafsi) kibaha kwa mathias msangani. umeme na maji vipo karibu sana
loc : kibaha kwa mathias msangani
area :sqm 490
price : mil 16
umiliki:mkataba wa mauziano
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
sifa:-
-3bedrooms, 1master bedroom
-kitchen
-sitting room
-dinning
-two ublic toilets
-two balcons
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: (dllkngw)