Eneo kubwa lina nyumba ndani linauzwa binafsi
kipo boko temboni kibaha pwani
bei million 40
eneo ni zuri sana na bei rafiki sana
ndani kuna nyumba ya room mbili za kulala moja self, sebule, jiko, choo,
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ukubwa wa eneo: ekari 1.5
wale wa maeneo kwa ajili ya makazi na kufuga hili linakufaa sana,,
takeibani km 3.5 kutoka moro road, na mita 150 tu kutoka ile barabara kubwa inayoelekea boko mnemela/mpiji nk
umeme na maji vipo
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elfu 30. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: (shd)