Nyumba inauzwaa nyumba ipo mkoa wa pwani kibaha maili moja
nyumba ipo mwanalugali shule ya scondary
nyumba ni mbili kwa moja inapande mbili
upande wa kwanza kuna vyumba v3 sebule jiko daining publc chumba master
na wa pili pia hivyohivyo
eneo sqm 6000
ipo mtaa mkubwa sana
bei mil 100
maongezi yapo
boda 2000
hati mauziano selikali ya mtaa
karibu sana mteja
■ mteja mmoja aiwahi hii ni mali safii
unakagua kwanza ukijiridhisha ndo unalipia
gharama ya kukupeleka site ni elf 50
upapende au usipapende ilimradi umefika site
haisuani na garama za usafiri
kwa maelezo zaidi nipigie