Nyumba inauzwa kigamboni kibada,ina vyumba 11 vya kulala na kati ya iyo kuna self bedroom 5. Sitting room,dining,kitchen public toilet. Nyumba nzuri sana... nyumba ipo kiwanja cha pili kutoka barabara ya Rami. Kiwanja chake sqm 2500... Doccument Title did...
Service charge Tsh 100000/=
Kwenda kuona nyumba