Shamba linauzwa lina ukubwa wa ekari 1500,bei kwa kila ekari ni 300,000 jumla ni sh ml 450.Shamba lina vyanzo vya maji vya kutosha nkimaanisha mto unaotiririsha maji mwaka mzima.
Shamba linafaa kwa kilimo cha nyanya,vitunguu maji na swaumu,mahindi,maharage,njegere,viazi,karanga pori.kwa upande wa miti unaweza kupanda pine,milingoti,graveria... e.t.c... pia unaweza kupanda miti ya matunda kama parachichi,apple e.t.c
Shamba lipo kwenye ukanda wa baridi
Contact071XXXXXXX