tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Kilimo Inauzwa
Iringa, Iringa Manispaa, 28/03
18 maoni

Shamba Linauzwa

+1
Shamba
Aina
50000sqm
Mita za mraba
Mchanganyiko
Matumizi ya Sifa
Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Shamba linauzwa lina ukubwa wa ekari 1500,bei kwa kila ekari ni 300,000 jumla ni sh ml 450.Shamba lina vyanzo vya maji vya kutosha nkimaanisha mto unaotiririsha maji mwaka mzima. Shamba linafaa kwa kilimo cha nyanya,vitunguu maji na swaumu,mahindi,maharage,njegere,viazi,karanga pori.kwa upande wa miti unaweza kupanda pine,milingoti,graveria... e.t.c... pia unaweza kupanda miti ya matunda kama parachichi,apple e.t.c Shamba lipo kwenye ukanda wa baridi Contact071XXXXXXX
Shamba LinauzwaShamba LinauzwaShamba Linauzwa
TSh 450,000,000Outright Price
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif