Nyumba mbili zinauzwa... zipo kwenye kiwanja kimoja... ukubwa wa kiwanja ni square meter 950... Nyumba zote zina vyumba vitatu na kimojawapo master,sebule,jiko na public toilet...
Zote zina wapangaji wanalipa kodi 500,000 na mwingine 300,000... jumna 800,000... kiwanja kina hati na umbali kutoka lami ni meter 100