Nyumba Ipo iringa mjini mtaa mmoja unaitwa mkimbizi kwa shayo.ina vyumba vitatu na kimojawapo master, sebule jiko na public toilet
Eneo Lina ukubwa wa square meter 1000.
Kwa Bei ya ml 65 njoo tufanye biashara mazungumzo yapo kidgo sana ila fika kwenye nyumba kwanza.