Shule shule ipo upande wa mashariki iringà halmashauri,kutoka ipogolo ni 10km, barabara ni lami mpaka shule, ina wanafunzi wa bweni 35
usajili wake wa wizara na
pamoja na wa necta
eneo lililopimwa ni 6.3 hekari
lisilopimwa ni ekari 4
Shule ni ya sekondari
shule ina madarasa manne yanayotumika, ukumbi moja maabara moja na ya pili ipo kwenye msingi, ofisi tatu, jengo la utawala na jengo moja halijakamilika kama bweni la wanafunzi wa kike
kama picha zinavyoonekana