Hiki ni kitabu kizuri sana chakujifunzia hususa ni kwa wanafunzi wote wa A level mchepuo wa HGE,HGK,HKL wanafunzi wote wanaosoma History. Kitabu kimetolewa na Baraza la elimu Tanzania (TIE) na kina jumla ya ukurasa 156 tu na kitabu kipo Inform of chapters na kina jumla ya chapter 9 tu .....bei ni nafuu karibu sana wadau wa elimu na wateja wote kiujumla. Asante sana