tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja vya Kukodisha
  4. Ardhi ya Biashara ya Kukodisha
Iringa, Iringa, Ifunda / Iringa, 06/05
19 maoni

Shamba Linauzwa Mkoani Iringa

+1
Ardhi ya Biashara
Aina
250sqm
Mita za mraba
*Shamba la Ekari 250 linauzwa Iringa* *Location* Iringa kijiji cha Ifunda. *Distance* Km 45 toka Iringa mjini na Km 10 toka barabara kuu ya TANZAM. *Ukubwa wa shamba:* Ekari 250. *Umiliki:* Hati ya kiserikali *(Title Deed)* *Vilivyomo ndani ya shamba:-* 1.Nyumba za watumishi. 2.Mabanda ya ng'ombe na mbuzi. 3. Visima vya maji. 4. Mashimo ya kukaushia nyasi kavu za Ng'ombe. 5. Pipe za kivuta maji toka mtoni. 6. Bwawa la samaki. *Chanzo cha maji* Maji ya mto. *Bei shilingi milioni 550 maongezi yapo*
Shamba Linauzwa Mkoani IringaShamba Linauzwa Mkoani IringaShamba Linauzwa Mkoani Iringa
TSh 550,000,000per month
3 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif