TV Samsung Smart Nchi 32 Original Latest Model 2023
1/3
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, masaa 3 yaliyopita
7 maoni
TV Samsung Smart Nchi 32 Original Latest Model 2023
+1
1
Samsung
Chapa
T5300
Mfano
Runinga
Aina
32inches
Ukubwa wa skrini
LED
Onyesha Teknolojia
1080p (FullHD)
Azimio la Dislpay
Android TV
Mfumo wa Uendeshaji wa Televisheni
Chapa Mpya
Hali
Hapana
Kubadilishana inawezekana
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 2,000 - 7,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
achana na zile samsung feki zilizoenea mitaani, njoo nikupe hii og from egypt, hii ni ile yenyewe gred one, ni imara sana na ni smart tv, ina hd kali sana na inaubora wa hali yajuu, ni imara sana na ukinunua hii mkataba, pia nakupa warranty mwaka,
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers majiko aina zote
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt