KARIAKOO NJIAPANDA YA MTAA WA NDANDA NA MUHONDA NYUMA YA CHINA PLAZA KARIBU NA BUTTERFLY HOTEL
Imefungwa sasa
• Jumatatu - Jumapili, 08:00-22:00
Nauza vitu vipya tu siuzi used
ili ujibiwe haraka usitume meseji nipigie simu
.
hii tv ya brand kubwa aborder, nchi 50 smart 4k uhd, ina hd kali sana na bluetooth pia, ni frameless pia ina ubora wa hali yajuu nakupa warranty mwaka
.
delivery tunafanya na utalipia baada ya kupokea mzigo wako na kujiridhisha kuwa uko salama
.
usishangae unafuu wa bei zetu kwakuwa sisi hatuuzi kwa tamaa kama wengine hivyo usikubali kupigwa tena na kupoteza pesa zako nyingi kwenye manunuzi ya electronics
.
sisi tutakuuzia bei ndogo, tunazo bidhaa zote brand zote tupigie kabla hujanunua chochote kwa wenye tamaa tukupe bei zetu nafuu ulinganishe na zao ili uone utofauti
.
zipo bidhaa zote kama vile tv, sabufa, sound bar, pressures cookers, majiko. tunazo brand zote kama hisense, samsung, lg, tcl, aborder, alitop
.
tuko kariakoo karibu na kanisa la kkkt